Home » Aliyekuwa Mbunge wa Gem Jakoyo Midiwo Ameaga Dunia, Wakenya Wamuomboleza ▷ Kenya News
News

Aliyekuwa Mbunge wa Gem Jakoyo Midiwo Ameaga Dunia, Wakenya Wamuomboleza ▷ Kenya News

Aliyekuwa Mbunge wa Gem Jakoyo Midiwo Ameaga Dunia, Wakenya Wamuomboleza ▷ Kenya News

[ad_1]

Aliyekuwa mbunge wa Gem Jakoyo Midiwo amefariki dunia, chama cha ODM kimethibitisha

Aliyekuwa Mbunge wa Gem Jakoyo Midiwo Ameaga Dunia, Wakenya Wamuomboleza
Aliyekuwa Mbunge wa Gem Jakoyo Midiwo. Picha: UGC
Source: UGC

Mkurugenzi mkuu wa mawasiliano katika chama hicho Philip Etale alitangaza habari za kifo chake kupitia mtandao wa Twitter Jumatatu, Juni 14.

” Ni siku iliyojaa huzuni haswa kwa chama cha ODM, tumempoteza mmoja wetu na mwanasiasa shupavu Mheshimiwa Jakoyo Midiwo ambaye alikuwa mbunge wa Gem kwa mihula mitatu, ” Etale aliandika Twitter.

Mengi kukujia baadaye…..

Source: Tuko.co.ke

[ad_2]

Source link