[ad_1]
Wanafunzi watarejea shuleni kama ilivyokuwa imeratibiwa na Wizara ya Elimu, hayo ni kwa mujibu wa Rais Uhuru Kenyatta.
Source: Facebook
Akiongea wakati wa sherehe za Leba Dei, Rais alisema shule zitafunguliwa kulingana na kalenda ya elimu.
Hilo lina maana kuwa wanafunzi watarejea shuleni kuanzia Jumatatu Mei 3 kama ilivyokuwa kwenye kalenda.
Source: Tuko Newspaper
[ad_2]
Source link