Home » Hotuba ya Rais: Uhuru Atangaza Kufunguliwa kwa Shule Kama Ilivyopangwa ▷ Kenya News
News

Hotuba ya Rais: Uhuru Atangaza Kufunguliwa kwa Shule Kama Ilivyopangwa ▷ Kenya News

Hotuba ya Rais: Uhuru Atangaza Kufunguliwa kwa Shule Kama Ilivyopangwa ▷ Kenya News

[ad_1]

Wanafunzi watarejea shuleni kama ilivyokuwa imeratibiwa na Wizara ya Elimu, hayo ni kwa mujibu wa Rais Uhuru Kenyatta.

Hotuba ya Rais: Uhuru Atangaza Kufunguliwa kwa Shule Kama Ilivyopangwa
Rais Uhuru Kenyatta wakati wa sherehe za Leba Dei Mei 1. Picha: State House
Source: Facebook

Akiongea wakati wa sherehe za Leba Dei, Rais alisema shule zitafunguliwa kulingana na kalenda ya elimu.

Hilo lina maana kuwa wanafunzi watarejea shuleni kuanzia Jumatatu Mei 3 kama ilivyokuwa kwenye kalenda.

Source: Tuko Newspaper

[ad_2]

Source link