[ad_1]
Mbunge wa Nyeri Mjini Wambugu Ngunjiri alijipata pabaya mtandaoni baada ya kulimwa alipopiga picha na wanasiasa wenzake Catherine Waruguru na Millicent Omanga.
Source: Facebook
Picha hiyo iliyopakiwa kwenye mtandao na Omanga, ilizua hisia mseto huku wakosoaji wa Ngunjiri wakishangaa ni vipi alifurahia kupenyezwa kwenye selfie ya vipusa.
Ngunjiri amekuwa akirushiwa mishale ya kisiasa huku akidai kuwa na ‘mehemehe’ za kisiasa kama kina dada kwenye saluni.
Hatua yake ya kupiga selfie na kina dada hao iliwapa wakosoaji nafasi ya kutia muhuri madai yao na kusema ana ‘umama sana’.
Habari Nyingine: DP Ruto Asisimka Baada ya Rais wa Marekani Kuhubiri Injili ya Wheelbarrow
Msemeo huo hutumika mtandaoni kuwatania wale ambao wana hulka kama za baadhi ya kina dada kama kasheshe nyingi.
Huu hapa utani wa wanamtandao kwa mbunge huyo
Source: Tuko News
[ad_2]
Source link