Home » Mniaju amenyuria after gas cylinders kinde kumuangukia
News

Mniaju amenyuria after gas cylinders kinde kumuangukia

[ad_1]



Get real time updates directly on you device, subscribe now.

Kuna mdenge kapyenga mwenye ni 7 years alimanyuria after ma gas cylinders kinde zilimuangukia akiwa kalesa hadi mtaani, baro inaitwa Salim yenye iko ungwaro.

Pendo Mumbi Muoki ako PP2 Bridge International Academy, na alikua anaishia mtaani na auntiko wake saazile hio ngori ili happen Tuesday jioni.

Hizo macylinders za gas zilikua zimesetiwa njei kwa baro wakizindonyo, alafu flat roller inafinylia baro ikatetemesha grao wakati ya road construction na ndio zikamdundia.

Mwenye hio shop anadai hio machine ili cause tremor design hizo cylinders zilidunda, saa hizo pendo alikua anapitia hapo.

Mambang’a walimuok wanadai waliegt amefinyiliwa na hizo cylinders, dibla imejaa, na mapero wanakemba tu.

Mbiggy wa manjege Kanairo, Augustine Nthumbi anadai washaanza Investigations.

Contractors wanaunda hio baro wata questioniwa, hadi officials wa Energy and Petroleum Regulatory Authority ku help na investigations.


Get real time updates directly on you device, subscribe now.



[ad_2]
Source link

About the author

Kenyan Bulletin

I am a young Kenyan interested in new media and dissemination of news and information as it unfolds.