[ad_1]
Makachero wanachunguza hali ambapo kitabu cha kurekodi matukio maarufu kama OB Book kilitoweka katika kituo cha polisi cha Githunguri.

Source: Facebook
Kulingana na ripoti iliyorekodiwa katika kituo hicho na maafisa Ferdinand Makokha na mwenzake Jacobeth Luttah, kitabu hicho kilihepa saa nne usiku Jumatano Mei 12.
Waliripoti kuhepa kwa kitabu hicho na juhudi za kukisaka hazikuzaa matunda na ikaishia maafisa hao pamoja na mwingine kwa jina Selly Erupe kukamatwa.
Makachero wanaendeleza uchunguzi ni vipi kitabu hicho kilitoweka ndani ya kituo cha polisi.
Source: Kenya Breaking News Today
[ad_2]
Source link







