Home » Maafisa wa Polisi Wakamatwa Baada ya Kitabu cha OB Kuhepa ▷ Kenya News
News

Maafisa wa Polisi Wakamatwa Baada ya Kitabu cha OB Kuhepa ▷ Kenya News

Maafisa wa Polisi Wakamatwa Baada ya Kitabu cha OB Kuhepa ▷ Kenya News

[ad_1]

Makachero wanachunguza hali ambapo kitabu cha kurekodi matukio maarufu kama OB Book kilitoweka katika kituo cha polisi cha Githunguri.

Maafisa wa Polisi Wakamatwa Baada ya Kitabu cha OB Kuhepa
Kitabu cha OB katika kituo cha polisi cha Githunguri kilitoweka Jumatano Mei 12. Picha: Kenya News Agency
Source: Facebook

Kulingana na ripoti iliyorekodiwa katika kituo hicho na maafisa Ferdinand Makokha na mwenzake Jacobeth Luttah, kitabu hicho kilihepa saa nne usiku Jumatano Mei 12.

Waliripoti kuhepa kwa kitabu hicho na juhudi za kukisaka hazikuzaa matunda na ikaishia maafisa hao pamoja na mwingine kwa jina Selly Erupe kukamatwa.

Makachero wanaendeleza uchunguzi ni vipi kitabu hicho kilitoweka ndani ya kituo cha polisi.

Source: Kenya Breaking News Today

[ad_2]

Source link